Skip to content
Mathayo 12:3-4

Mathayo 12:3-4

3
Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alichofanya Daudi na wenzake walipokuwa na njaa?
4
Aliingia katika nyumba ya Mungu, akala mikate iliyowekwa wakfu, yeye na wenzake, jambo ambalo halikuwa halali kwao kufanya, isipokuwa makuhani peke yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options