Skip to content
Mathayo 12:23-24

Mathayo 12:23-24

23
Watu wote wakashangaa na kusema, “Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa Daudi?”
24
Lakini Mafarisayo waliposikia jambo hili wakasema, “Mtu huyu anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo wachafu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options