Skip to content
Mathayo 12:22-23

Mathayo 12:22-23

22
Kisha wakamletea mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu, na alikuwa kipofu na bubu. Yesu akamponya, hata akaweza kusema na kuona.
23
Watu wote wakashangaa na kusema, “Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa Daudi?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options