Mathayo 11:4-6
4
Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mnayosikia na kuyaona:
5
Vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.
6
Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”