Skip to content
Mathayo 11:4-6

Mathayo 11:4-6

4
Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mnayosikia na kuyaona:
5
Vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.
6
Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options