Skip to content
Mathayo 11:3-6

Mathayo 11:3-6

3
ili wakamuulize, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”
4
Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mnayosikia na kuyaona:
5
Vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.
6
Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options