Skip to content
Mathayo 11:25-26

Mathayo 11:25-26

25
Wakati huo Yesu alisema, “Nakuhimidi Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu, nawe ukawafunulia watoto wadogo.
26
Naam, Baba, kwa kuwa hivyo ndivyo ilivyokupendeza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options