Skip to content
Mathayo 11:13-14

Mathayo 11:13-14

13
Kwa maana manabii wote na Sheria walitabiri mpaka wakati wa Yohana.
14
Ikiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options