Skip to content
Mathayo 10:32-33

Mathayo 10:32-33

32
“Kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, mimi nami nitamkiri yeye mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
33
Lakini yeyote atakayenikana mimi mbele ya watu, mimi nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options