Skip to content
Mathayo 10:17-18

Mathayo 10:17-18

17
“Jihadharini na wanadamu; kwa maana watawapeleka katika mabaraza yao na kuwapiga kwenye masinagogi yao.
18
Nanyi mtaburutwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, ili kuwa ushuhuda kwao na kwa watu wa Mataifa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options