تخطَّ إلى المحتوى
Mathayo 10:14-15

Mathayo 10:14-15

14
Kama mtu yeyote hatawakaribisha ninyi, wala kusikiliza maneno yenu, kungʼuteni mavumbi kutoka kwenye miguu yenu mtakapokuwa mnatoka kwenye nyumba hiyo au mji huo.
15
Amin, nawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa miji ya Sodoma na Gomora kustahimili katika hukumu kuliko mji huo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options