Skip to content
Marko 9:31-32

Marko 9:31-32

31
kwa maana alikuwa anawafundisha wanafunzi wake. Akawaambia, “Mwana wa Adamu atasalitiwa na kutiwa mikononi mwa watu. Nao watamuua, lakini siku tatu baada ya kuuawa atafufuka.”
32
Lakini wao hawakuelewa kile alimaanisha, nao waliogopa kumuuliza maana yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options