Skip to content
Marko 7:34-35

Marko 7:34-35

34
Ndipo Yesu akatazama mbinguni, akavuta hewa ndani kwa nguvu akamwambia, “Efatha!” (yaani, “Funguka!”)
35
Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake ukaachiliwa, akaanza kuongea sawasawa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options