મુખ્ય સામગ્રી પર જાઓ
Marko 7:3-4

Marko 7:3-4

3
(Kwa kuwa Mafarisayo na Wayahudi wote hawali chakula pasipo kunawa kwa kufuata desturi za wazee wao.
4
Wanapotoka sokoni hawawezi kula pasipo kunawa. Pia kuna desturi nyingine nyingi wanazofuata kama vile jinsi ya kuosha vikombe, vyungu na vyombo vya shaba.)
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options