Skip to content
Marko 6:35-36

Marko 6:35-36

35
Mchana ulipokuwa umeendelea sana, wanafunzi wake walienda kwake, wakamwambia, “Mahali hapa ni nyikani, nazo saa zimekwenda sana.
36
Waage watu ili waende mashambani na vijijini jirani, wakajinunulie chakula.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options