Skip to content
Marko 5:7-8

Marko 5:7-8

7
Akapiga kelele kwa nguvu akisema, “Una nini nami, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu Sana? Ninakusihi kwa jina la Mungu, usinitese!”
8
Kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Mtoke mtu huyu, wewe pepo mchafu!”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options