Skip to content
Marko 5:7-10

Marko 5:7-10

7
Akapiga kelele kwa nguvu akisema, “Una nini nami, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu Sana? Ninakusihi kwa jina la Mungu, usinitese!”
8
Kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Mtoke mtu huyu, wewe pepo mchafu!”
9
Yesu akamuuliza, “Jina lako ni nani?” Akamjibu, “Jina langu ni Legioni, kwa kuwa tuko wengi.”
10
Akamsihi Yesu sana asiwapeleke nje ya nchi ile.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options