Skip to content
Marko 4:5-6

Marko 4:5-6

5
Nyingine zilianguka kwenye ardhi yenye mwamba isiyo na udongo wa kutosha. Zikaota haraka, kwa kuwa udongo ulikuwa haba.
6
Lakini jua lilipozidi, mimea ikanyauka na kukauka kwa kuwa mizizi yake haikuwa na kina.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options