Skip to content
Marko 4:40-41

Marko 4:40-41

40
Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kwa nini mnaogopa hivyo? Je, bado hamna imani?”
41
Nao wakawa wameogopa sana, wakaulizana, “Ni nani huyu ambaye hata upepo na mawimbi vinamtii?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options