Skip to content
Marko 4:18-19

Marko 4:18-19

18
Lakini wengine, kama mbegu iliyopandwa kwenye miiba, hulisikia lile neno;
19
lakini masumbufu ya maisha haya, na udanganyifu wa mali na tamaa ya mambo mengine huja na kulisonga lile neno na kulifanya lisizae.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options