Skip to content
Marko 4:18-19

Marko 4:18-19

18
Lakini wengine, kama mbegu iliyopandwa kwenye miiba, hulisikia lile neno;
19
lakini masumbufu ya maisha haya, na udanganyifu wa mali na tamaa ya mambo mengine huja na kulisonga lile neno na kulifanya lisizae.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options