मुख्य मजकुरावर जा
Marko 3:28-30

Marko 3:28-30

28
Amin, nawaambia, dhambi zote na makufuru yote ya wanadamu watasamehewa.
29
Lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.”
30
Yesu alisema hivi kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options