Skip to content
Marko 3:1-2

Marko 3:1-2

1
Yesu akaingia tena ndani ya sinagogi, na huko palikuwa na mtu aliyepooza mkono.
2
Wakawa wanamwangalia waone kama atamponya siku ya Sabato, ili wapate sababu ya kumshtaki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options