Skip to content
Marko 2:9-11

Marko 2:9-11

9
Je, ni lipi lililo rahisi zaidi: kumwambia huyu aliyepooza, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uchukue mkeka wako, uende’?
10
Lakini ili mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani kusamehe dhambi…” Yesu akamwambia yule aliyepooza,
11
“Nakuambia, inuka, chukua mkeka wako, uende nyumbani kwako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options