Skip to content
Marko 2:11-12

Marko 2:11-12

11
“Nakuambia, inuka, chukua mkeka wako, uende nyumbani kwako.”
12
Yule mtu aliyekuwa amepooza akasimama, akachukua mkeka wake, akatembea machoni pao wote! Jambo hili likawashangaza wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, “Hatujapata kuona jambo kama hili kamwe!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options