Skip to content
Marko 14:41-42

Marko 14:41-42

41
Akaja mara ya tatu, akawaambia, “Bado mmelala na kupumzika? Imetosha! Saa imewadia. Tazameni, Mwana wa Adamu anasalitiwa na kutiwa mikononi mwa wenye dhambi.
42
Inukeni, twende zetu! Tazameni, msaliti wangu yuaja!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options