Skip to content
Marko 13:35-37

Marko 13:35-37

35
“Basi kesheni kwa sababu hamjui ni lini mwenye nyumba atakaporudi: iwapo ni jioni, au ni usiku wa manane, au alfajiri awikapo jogoo, au mapambazuko.
36
Kama akija ghafula, asije akawakuta mmelala.
37
Lile ninalowaambia ninyi, nawaambia watu wote: ‘Kesheni!’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options