Skip to content
Marko 13:3-4

Marko 13:3-4

3
Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni mkabala na Hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamuuliza faraghani,
4
“Tafadhali tuambie, mambo haya yatatukia lini? Nayo dalili ya kuwa hayo yote yanakaribia kutimia itakuwa gani?”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options