Skip to content
Marko 12:7-8

Marko 12:7-8

7
“Lakini wale wapangaji wakasemezana pamoja, ‘Huyu ndiye mrithi. Njooni tumuue, nao urithi utakuwa wetu.’
8
Hivyo wakamchukua na kumuua, wakamtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options