Skip to content
Malaki 3:8-9

Malaki 3:8-9

8
“Je, mwanadamu atamwibia Mungu? Hata hivyo mnaniibia mimi. “Lakini mnauliza, ‘Tunakuibia kwa namna gani?’ “Mnaniibia zaka na dhabihu.
9
Mko chini ya laana, ninyi taifa lote, kwa sababu mnaniibia mimi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options