मुख्य सामग्री पर जाएँ
Luka 9:18-19

Luka 9:18-19

18
Wakati mmoja, Yesu alipokuwa akiomba faraghani, nao wanafunzi wake wakiwa pamoja naye, akawauliza, “Watu husema mimi ni nani?”
19
Wakamjibu, “Baadhi husema wewe ni Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya, na bado wengine husema kwamba ni mmoja wa manabii wa kale amefufuka kutoka kwa wafu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options