Skip to content
Luka 8:9-10

Luka 8:9-10

9
Wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo.
10
Naye akasema, “Ninyi mmepewa kufahamu siri za Ufalme wa Mungu, lakini kwa wengine nazungumza kwa mifano, ili, “ ‘ingawa wanatazama, wasione; ingawa wanasikiliza, wasielewe.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options