본문으로 건너뛰기
Luka 8:41-42

Luka 8:41-42

41
Kisha mtu mmoja, jina lake Yairo, aliyekuwa kiongozi wa sinagogi, akaja na kuanguka miguuni mwa Yesu, akimwomba afike nyumbani kwake,
42
kwa kuwa binti yake wa pekee, mwenye umri wa miaka kumi na miwili, alikuwa anakufa. Yesu alipokuwa akienda, umati wa watu ukamsonga sana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options