Skip to content
Luka 8:31-32

Luka 8:31-32

31
Wale pepo wachafu wakamsihi sana asiwaamuru kwenda katika Shimo.
32
Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe hapo likilisha kando ya kilima. Wale pepo wachafu wakamsihi Yesu awaruhusu wawaingie hao nguruwe, naye akawaruhusu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options