Skip to content
Luka 5:37-38

Luka 5:37-38

37
Hakuna mtu awekaye divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Akifanya hivyo, hiyo divai mpya itavipasua hivyo viriba, nayo yote itamwagika.
38
Divai mpya lazima iwekwe kwenye viriba vipya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options