Skip to content
Luka 5:34-35

Luka 5:34-35

34
Yesu akawajibu, “Je, mnaweza kuwafanya wageni wa bwana arusi kufunga wakati yuko pamoja nao?
35
Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kwao. Hapo ndipo watakapofunga.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options