Skip to content
Luka 4:5-8

Luka 4:5-8

5
Ibilisi akampeleka hadi juu ya mlima mrefu akamwonyesha milki zote za dunia kwa mara moja.
6
Akamwambia, “Nitakupa mamlaka juu ya milki hizi na fahari zake zote, kwa maana zimekabidhiwa mkononi mwangu nami ninaweza kumpa yeyote ninayetaka.
7
Hivyo ikiwa utanisujudia na kuniabudu, vyote vitakuwa vyako.”
8
Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mwabudu Bwana Mungu wako na umtumikie yeye peke yake.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options