Skip to content
Luka 4:28-29

Luka 4:28-29

28
Watu wote katika sinagogi waliposikia maneno haya, wakakasirika sana.
29
Wakasimama, wakamtoa nje ya mji, wakamchukua hadi kwenye kilele cha mlima mahali ambapo mji huo ulikuwa umejengwa, ili wamtupe chini kutoka kwenye mteremko mkali.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options