Skip to content
Luka 4:18-19

Luka 4:18-19

18
“Roho wa Bwana yu juu yangu, kwa sababu amenitia mafuta kuwahubiria maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, na vipofu kupata kuona tena, kuwaweka huru wanaoonewa,
19
na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubalika.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options