Skip to content
Luka 4:16-17

Luka 4:16-17

16
Yesu akaenda Nazareti, alipolelewa, na siku ya Sabato alikwenda katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake. Akasimama ili asome,
17
naye akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na kukuta mahali palipoandikwa:
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options