تخطَّ إلى المحتوى
Luka 4:16-17

Luka 4:16-17

16
Yesu akaenda Nazareti, alipolelewa, na siku ya Sabato alikwenda katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake. Akasimama ili asome,
17
naye akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na kukuta mahali palipoandikwa:
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options