Skip to content
Luka 24:44-46

Luka 24:44-46

44
Akawaambia, “Haya ndiyo yale niliyowaambia nilipokuwa bado niko pamoja nanyi, kwamba yote yaliyoandikwa kunihusu mimi katika Sheria ya Mose, Manabii na Zaburi hayana budi kutimizwa.”
45
Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko.
46
Akawaambia, “Haya ndiyo yaliyoandikwa: Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka kwa wafu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options