Skip to content
Luka 24:36-37

Luka 24:36-37

36
Walipokuwa bado wanazungumza hayo, Yesu mwenyewe akasimama katikati yao, akasema, “Amani iwe nanyi!”
37
Wakashtuka na kuogopa wakidhani kwamba wameona mzuka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options