Skip to content
Luka 24:13-16

Luka 24:13-16

13
Ikawa siku iyo hiyo, wanafunzi wawili wa Yesu walikuwa njiani wakienda kijiji kilichoitwa Emau, yapata maili saba kutoka Yerusalemu.
14
Walikuwa wakizungumza wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotukia.
15
Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akaja akatembea pamoja nao,
16
lakini macho yao yakazuiliwa ili wasimtambue.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options