Skip to content
Luka 24:1-3

Luka 24:1-3

1
Mnamo siku ya kwanza ya juma, alfajiri na mapema, wale wanawake walichukua yale manukato waliyokuwa wameyaandaa, wakaenda kaburini.
2
Wakakuta lile jiwe limevingirishwa kutoka kwenye kaburi,
3
lakini walipoingia ndani, hawakuuona mwili wa Bwana Yesu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options