Skip to content
Luka 23:18-19

Luka 23:18-19

18
Ndipo watu wote wakapiga kelele kwa pamoja, “Mwondoe mtu huyo! Tufungulie Baraba!”
19
(Baraba alikuwa amefungwa gerezani kwa sababu ya maasi yaliyokuwa yametokea mjini, na kwa ajili ya uuaji.)
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options