Skip to content
Luka 22:49-50

Luka 22:49-50

49
Wafuasi wa Yesu walipoona yale yaliyokuwa yanakaribia kutokea, wakasema, “Bwana, tuwakatekate kwa panga zetu?”
50
Mmoja wao akampiga mtumishi wa kuhani mkuu kwa upanga, akamkata sikio la kuume.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options