Skip to content
Luka 20:5-7

Luka 20:5-7

5
Wakahojiana wao kwa wao wakisema, “Kama tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’
6
Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’ watu wote watatupiga mawe, kwa sababu wanaamini kwamba Yohana alikuwa nabii.”
7
Basi wakajibu, “Hatujui ulikotoka.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options