Skip to content
Luka 2:8-9

Luka 2:8-9

8
Katika eneo lile walikuwako wachungaji waliokuwa wakikaa mashambani, wakilinda makundi yao ya kondoo usiku.
9
Ghafula tazama, malaika wa Bwana akawatokea, nao utukufu wa Bwana ukawangʼaria kotekote, wakaingiwa na hofu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options