Zum Inhalt springen
Luka 2:46-47

Luka 2:46-47

46
Baada ya siku tatu wakamkuta ndani ya Hekalu, akiwa ameketi katikati ya walimu wa sheria, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
47
Wote waliomsikia walistaajabishwa na uwezo wake mkubwa wa kuelewa, na majibu aliyoyatoa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options