Skip to content
Luka 2:34-35

Luka 2:34-35

34
Kisha Simeoni akawabariki, akamwambia Maria mama yake, “Mtoto huyu amewekwa kwa makusudi ya kuanguka na kuinuka kwa wengi katika Israeli. Atakuwa ishara ambayo watu watanena dhidi yake,
35
ili mawazo ya mioyo mingi yadhihirike. Nao upanga utauchoma moyo wako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options