Skip to content
Luka 19:9-10

Luka 19:9-10

9
Ndipo Yesu akamwambia, “Leo, wokovu umeingia nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Abrahamu.
10
Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options