Skip to content
Luka 19:32-34

Luka 19:32-34

32
Wale waliotumwa wakaenda, wakakuta kila kitu kama vile Yesu alivyokuwa amewaambia.
33
Walipokuwa wanamfungua yule mwana-punda, wenyewe wakawauliza, “Mbona mnamfungua huyo mwana-punda?”
34
Wale wanafunzi wakajibu, “Bwana anamhitaji.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options